|
Wajiandaa kumkabili, hata ikibidi kumrudisha CCM [Waandishi wetu] CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeanza kukunjua makucha yake dhidi ya Mbunge wa Maswa Mashariki, John Shibuda, ambaye amekuwa na uhusiano tete na chama chake hicho, huku akikishambulia hadharani na kujipendekeza kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) bila kificho...
|