Alikuwa akitoa fedha, vitenge, asali, vipeperushi VITUKO vya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya udiwani na ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) vimezidi kushamiri hapa nchini, ambapo Mkuu wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Betty Machangu, anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU)... |